Afrika Kusini yataja nchi 57 ambazo raia wake hawapaswi kukanyaga nchini humo

Ikiwa leo Oktoba 1, 2020 Serikali ya Afrika Kusini imeruhusu safari za kuingia na kutoka Kimataifa, Waziri wa Uchukuzi wa nchi hiyo, Fikile Mbalula amezitaja nchi 57 ambazo raia wake hawapaswi kuingia Afrika Kusini, labda kwa sababu zenye msingi ikiwemo wawekezaji.

Kwa mujibu wa Waziri Mbalula, zifuatazo ni nchi ambazo raia wake hawatoruhusiwa kuingia Afrika ya Kusini kwa sababu ya nchi zao kuwa na maambukizi mengi zaidi ya virusi vya Corona (Covid-19).

Nchi hizo ni pamoja na Dominican Republic, Ecuador, Faroe Islands, France, French, Polynesia, Georgia, Gibraltar na Greece.

Nyingine ni Guam, Guatemala,Guyana,Honduras,Hungary,Iceland, India, Iran, Iraq, Ireland,Israel, Jamaica,Jordan,Kosovo,Kuwait,Lebanon,Luxembourg,Maldives,Malta,Mexico Moldova, Monaco
Montenegro, Netherlands,Nepal, North Macedonia,Oman,Palestine,Panama,Palau,Paraguay na Portugal.

Pia kuna Puerto Rico,Romania,Qatar, Russia,San Marino, St Marteen, Slovakia,Slovenia, Suriname,
Switzerland, Trinidad and Tobago, Turks and Caicos Islands, Ukraine, United Kingdom, United States of America US, Virgin Islands na Venezuela.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news