Zimebaki siku 27 kuelekea vituo vya kupigia kura, iwe Mtanzania usikubali kutoa au kurubuniwa na yeyote kuhusu kadi yako ya mpiga kura, itunze kadi yako iweze kukupa nafasi muhimu ya kumchagua kiongozi unayemtaka, ujumbe huu umeletwa kwenu na Diramakini Business Limited.