Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan awasha mitambo ya ushindi Mtwara Mjini kuelekea Oktoba 28

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini alipowasili katika Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini kwa ajili ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi CCM Septemba 10,2020 mkoani Mtwara. Wa nne kutoka kulia ni Mgombea Ubunge Mtwara Mjini, Hassan Mtenga kupitia CCM.

Sehemu ya maelfu ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi katika Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini Septemba 10,2020.

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akihutubia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi na wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini katika mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi kwenye Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini mkoani Mtwara Septemba 10,2020.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news