Mgombea Urais Maalim Seif Sharif Hamad asema akipewa ridhaa Oktoba 28 wakulima, wafanyabiashara watafurahia matunda ya kazi zao



Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya ACT Wazalendo,Maalim Seif Sharif Hamad akiulizia bei ya Muhogo katika soko la Mikunguni Mjni Unguja ambapo alifanya ziara maalumu kusikiliza kero kwa watumiaji wa soko hilo mapeema leo asubuhi Septemba 26,2020, anaripoti Mwandishi Diramakini.

Jambo kubwa ambalo amesisitiza ni kwamba iwapo watamchagua Oktoba 28, mwaka huu kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha wakulima na wafanyabiashara wanafurahia kazi zao. 

Amesema, atafanya hivyo kwa kuwawekea mazingira wezeshi ambayo yatampa fursa kila mmoja kunufaika zaidi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news