BARAZA la Katiba nchini Ivory Coast limemuidhinisha, Rais Alassane Outtara mwenye umri wa miaka 78 kuwania muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 31,2020.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo pia baraza hilo limepunguza idadi ya wagombea wa urais hadi wanne jambo ambalo linadaiwa kuwa linalenga kubinya demokrasia.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo pia baraza hilo limepunguza idadi ya wagombea wa urais hadi wanne jambo ambalo linadaiwa kuwa linalenga kubinya demokrasia.
Tags
Kimataifa