Bodi ya Ligi yang'ata mashabiki wa Yanga waliowarushia makonde Wana Simba SC

 

Bodi ya Ligi Tanzania leo Oktoba 2,mwaka huu imeendelea kutekeleza majukumu yake kikamilifu ikiwemo kuchukua hatua kuhusu matukio mbalimbali, anaripoti Mwandishi Diramakini.

Aidha, wamefanya maamuzi baada ya Kamati ya Kusimamia Ligi Kuu Bara kupitia matukio mbalimbali huku mashabiki wa Yanga SC waliowapiga mashabiki wa Simba SC na kuwachania jezi kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, mkoani Morogoro wakipewa adhabu.





Kwa mujibu wa bodi,adhabu waliopewa ni faini na kufungiwa kutoingia uwanjani kwa muda wa miezi 12  kuanzia sasa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news