Kocha wa Yanga SC Zlatko Krmpotic afutwa kazi



Uongozi wa Klabu ya Yanga SC umemfuta kazi kocha wake, Zlatko Krmpotic baada ya makubliano kati ya pande zote mbili, ambapo imemtakia mafanikio mema sehemu nyingine anayoelekea. Kocha Zlatko amehudumu kwa siku 37 pekee ndani ya klabu ya Yanga, anaripoti Mwandishi Diramakini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

1 Comments

  1. Haya haya naona kumekucha, kwa hiyo ushindi wa tatu umemsindikiza Mzungu wa watu? Tusubirie yajayo.......

    ReplyDelete
Previous Post Next Post

International news