Simba SC,
mabingwa mara tatu mfululizo wa Ligi Kuu, wanabaki na alama zao 13
baada ya kipigo cha jana huku wakizidiwa alama tatu na mahasimu wao,
Yanga SC baada ya timu zote kucheza mechi sita, wakati Azam FC
wanaendelea kuongoza kwa alama 21 za mechi saba hadi sasa.
Kwa tukio lolote la habari, makala au picha wasiliana nasi Diramakini Business Limited saa 24 kupitia +255 719254464 au barua pepe; diramakini@gmail.com
No comments