LIVE: Updates za Michuano ya Ligi Kuu katika viwanja mbalimbali leo Oktoba 4,2020

Live

Biashara United vs Mtibwa Sugar, saa 8:00 mchana.

Goli la kuongoza la Biashara United lilifungwa baada ya kona fupi na kutua kwenye kichwa cha Kelvin Friday aliyetikisa nyavu za Mtibwa Sugar. 68': Biashara 1-0 Mtibwa. Mtibwa wamepoteza.


JKT Tanzania vs Simba, saa 10:00 jioni.

Game! imeisha Dodoma, Simba wanatembeza kichapo kingine cha 4G msimu huu.

 Baadae

Azam FC vs Kagera Sugar, saa 1:00 usiku. Anaripoti Mwandishi Diramakini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news