LIVE: Viongozi wa dini wafunguka, wasema utajiri wa Tanzania unakodolewa macho

 

"Nchi yetu ni tajiri sana na hakuna nchi ambayo ni tajiri ambayo huwa haikodolewi macho ya husuda, uroho. Tuwe makini sana, mara nyingi watu hao huwa wanafanikiwa siku hizi za uchaguzi.Ubabe hautatusaidia, tunahitaji busara, ndiyo maana leo viongozi tupo hapa, tunataka amani itawale kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu...fuatilia hapa  Mwandishi Diramakini atakupa mrejesho kila saa.

 

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

2 Comments

  1. Wana mnayatoa wapi haya mawe, mbona mnayatupia sana, ils hongereni kwa kazi zenu nzuri, blog ipo active sana

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tunakushukuru kwa kutufualia.

      Wako
      Mhariri
      Diramakini

      Delete
Previous Post Next Post

International news