Mambo matano yatakayosababisha kura kukataliwa

Zikiwa zimesalia siku 12  kabla ya Watanzania kumiminika katika vituo vya kupigia kura. Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeendelea kutoa elimu na kutoa maelekezo juu ya mambo mbalimbali ya kuzingatia ili kuhakikisha kuwa, kila mmoja anatimiza haki yake ya kupiga kura kwa ushahihi na kumchagua kiongozi ambaye anaamini ni chaguo lake kuanzia ngazi a udiwani, ubunge na Urais. Mwandishi Diramakini anakusogezea mambo kadhaa kutoka NEC ambayo unapaswa kuyafahamu kuhusu kura zilizokataliwa;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news