Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika Stesheni ya Arusha ikiwa ni zaidi ya miaka 30 imepita


Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika stesheni ya Arusha 
Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika stesheni ya Arusha 
Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika stesheni ya Arusha 
Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika stesheni ya Arusha 
Treni ya kwanza ya abiria yawasili katika stesheni ya Arusha jijini humo baada ya zaidi ya miaka 30 na kupokelewa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenani Kihongosi Oktoba 3, 2020. Katika picha juu ni baadhi ya matukio katika mapokezi hayo ambapo treni hiyo iliruhusiwa kuanza na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge katika Stesheni ya Kamata Oktoba 2, 2020.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news