Mchambuzi ni Doreen Mwara kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).
Imeandaliwa na Mwandishi Diramakini kwa msaada wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Kwa mujibu wa TMA, Dar es salaam inatarajiwa hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi na vipindi vya jua.
Kwa tukio lolote la habari, makala au picha wasiliana nasi Diramakini Business Limited saa 24 kupitia +255 719254464 au barua pepe; diramakini@gmail.com
No comments