Simba yaichapa Plateau United 1-0

Klabu ya Simba imefanikiwa kutwaa alama tatu muhimu baada ya kuitwanga bao moja timu ya Plateau United bao 1-0 katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika katika hatua ya awali, anaripoti Mwandishi Diramakini.

Mchezo huo ambao ulikuwa wa aina yake, bao pekee la Clatous Chama alilolipachika nyavuni dakika ya 53 ndilo lililodumu hadi dakika ya mwisho. 
 
Katika mtanange huo ambao umepigwa katika uwanja wa Rwang Pam Stadium Stadium uliopo Jos, Nigeria unaifanya Simba SC kujiwekea mazingira mazuri hatua inayofuata.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news