Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.
Wafuatao ni mawaziri wateule;
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu- Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto- Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji Ofisi ya Rais -Prof. Kitila Mkumbo.
6.Wizara ya Katiba na Sheria-Dkt. Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia- Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi - Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii -Dkt. Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI- Suleiman Jaffo
11.Madini- Dotto Biteko
12.Nishati -Dkt.Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt.Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo -Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie -Geofrey Idelphonce Mwambe
16.Mambo ya Ndani- George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA- Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari-Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt-Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof-Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT- Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora-Kapteni Mstaafu George Mkuchika.
Tags
Habari