Uganda mabingwa wa CECAFA-U20 Tanzania 2020



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akimkabidhi kombe nahodha wa Uganda U-20, Kizito Gavin baada ya kutwaa taji hilo mbele ya Tanzania kwa ushindi wa magoli 4-1 leo Desemba 2,2020.
Timu ya Taifa ya Uganda U20 ambao ni Mabingwa wa CECAFA-U20 Tanzania 2020.
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambae pia ni Rais wa CECAFA, Wallace Karia akimkabidhi Mgeni Rasmi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Kombe la Ubingwa wa CECAFA U20.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news