Utabiri wa hali ya hewa Desemba 17, 2020

Utabiri wa hali ya hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo Desemba 17, 2020 unawasilishwa na Doreen Mwara kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA).

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), maeneo yanayozunguka Ziwa Victoria, Magharibi mwa nchi pamoja na Nyanda za Juu Kusini-Magharibi yanatarajiwa kuendelea kupata mvua na ngurumo katika maeneo machache.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news