Utabiri wa hali ya hewa leo Januari 12, 2021



Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku leo Januari 12, 2021 kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Kwa mujibu wa TMA,vipindi vya mvua vinatarajiwa kuendelea katika maeneo mengi ya nchi hivyo uchukue tahadhari.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news