Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 kuanzia saa 3 usiku leo Januari 4, 2021 unaletwa na mchambuzi, Magreth Massawe kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Kwa mujibu wa TMA,mvua zinatarajiwa kunyesha katika mikoa mingi hapa nchini.
Post a Comment
0
Comments
CONTACTS US 24 HOURS
Ukiwa na habari, makala, picha,video,matangazo wasiliana nasi kupitia simu +2557 19254464 au diramakini@gmail.com
0 Comments