Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limefuta mechi ya mchujo wa kuwania hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho baina ya wenyeji Primiero de Agosto na Namungo FC ya Tanzania iliyopangwa kuchezwa kesho Uwanja wa Novemba 11 Jijini Luanda.
Kwa tukio lolote la habari, makala au picha wasiliana nasi Diramakini Business Limited saa 24 kupitia +255 719254464 au barua pepe; diramakini@gmail.com
No comments