Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Februari 22, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.John Pombe Joseph Magufuli amesema Wakristo ambao wapo katika kipindi cha Kwaresma na Waislamu ambao wanakaribia kuingia katika kipindi cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, waendelee kumuomba Mungu kwani pamoja na jitihada za kibinadamu za kukabiliana na ugonjwa wa Corona, Mungu ndiye muweza wa yote na husimama kwa kila jambo.












Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news