HomeSiasa TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI NEC yamteua Yustina Arcadius Rahhi kuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tags Siasa Facebook Twitter