Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtambulisha Mdenmark Kim Polusen kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya wakubwa, Taifa Stars akichukua nafasi ya Mrundi, Etienne Ndayiragijje aliyeondolewa hivi karibuni.
Mpendwa msomaji, Diramakini blog inaendeshwa kwa michango ya wadau, ukiwa unabarikiwa na huduma zetu za habari usisite kutuchangia kiasi chochote cha fedha kuanzia sh. 300 kwa ajili ya huduma za intaneti, usafiri, mawasiliano ya simu kwa wawakilishi wetu waliopo ndani na nje ya nchi, Tigopesa 0719 254464 au njia nyingine tunaomba utupigie kwa namba hiyo. Ubarikiwe kwa upendo wako, nasi tunakuhaidi kukupa habari za uhakika saa 24. ASANTE
No comments