Utabiri wa hali ya hewa/ Weather Forecast today February 9th, 2021

MATARAJIO YA HALI MBAYA YA HEWA KWA SIKU TANO ZIJAZO. JUMANNE 09/02/2021

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Dar es Salaam, Pwani (pamoja na kisiwa cha Mafia),Tanga, Kaskazini mwa mikoa ya Morogoro na Lindi, pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI 

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI

Athari zinazoweza kujitokeza

Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa baadhi ya shughuli za usafirishaji.


JUMATANO: 10/02/2021 

ANGALIZO la mvua kubwa limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya

mikoa ya Dar es Salaam, Pwani (pamoja na visiwa cha Mafia), Morogoro, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Rukwa, Njombe, Iringa, Dodoma, Singida na Manyara.

UWEZEKANO WA KUTOKEA:WASTANI

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI

Athari zinazoweza kujitokeza Baadhi ya makazi kuzungukwa na maji pamoja na ucheleweshwaji wa baadhi ya shughuli za usafirishaji.

ANGALIZO la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2, limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam na Pwani (ikijumuisha visiwa

vya Mafia) pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

UWEZEKANO WA KUTOKEA: WASTANI.

KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI.

Athari zinazoweza kujitokeza Kuathirika kwa baadhi ya shughuli za uvuvi

........

ALHAMISI: 11/02/2021 HADI JUMAMOSI : 13/02/2021

HAKUNA ANGALIZO


Imetolewa leo 09/02/2021

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news