Vodacom Tanzania PLC yazungumzia huduma za malipo kwa mtandao kupitia M-Pesa

Meneja Biashara na Mkakati wa Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kati, Baraka Siwa akizungumza kuhusu huduma za fedha zinazotolewa na kampuni hiyo wakati wa mafunzo kwa waratibu wa wafanyabiashara wa huduma ndogo za fedha lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma. Vodacom Tanzania ni mdau wa huduma za fedha kwa njia ya mtandao kupitia M-pesa.



Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news