Mgombea uwakilishi jimbo la Pandani kupitia chama cha ACT Wazalendo, Profesa Omar Fakih Hamad, ameibuka mshindi baada ya kupata kura 2361 dhidi ya kura 1934 alizopata mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Mohamed Juma Ali.
Post a Comment
0
Comments
CONTACTS US 24 HOURS
Ukiwa na habari, makala, picha,video,matangazo wasiliana nasi kupitia simu +2557 19254464 au diramakini@gmail.com
0 Comments