“Nimeona nisimame hapa niwasalimu ndugu zangu"-----Hakika tutakukumbuka Baba yetu Hayati Dkt.John Magufuli

-Hii kauli wananchi waliizoea kuisikia kutoka kwako kila unapopita.

-Leo mioyo yao imepatwa ganzi na simanzi na kujiuliza, why unapita kimya kimya?.

-Wananchi hawa wanyonge hawajaacha desturi uliyowazoesha ya kusimama pembeni ya barabara kukulaki na kukusimamisha, lakini leo wanahuzuni kwani shida na kero zao huzisikii tena.

_Hawakuoni juu ya gari tena kama walivyozoea.

_Nenda JPM uliyekuwa kipenzi cha Watanzania.

-Rais asiyekuwa na makuu, alijishusha na kuyaishi mazingira ya Watanzania wote bila kujali mwenye nacho au asiyenacho. Hakika tutakuenzi daima Baba yetu mpendwa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news