SALAAM ZA PONGEZI KWA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ZAZIDI KUMIMINIKA KUTOKA UGHAIBUNI

Kampuni ya kutengeneza vyuma na vipuri vya mashine ya FAZNAM GmbH inayomilikiwa na mfanyabiashara mwanamama wa Kitanzania, Bi.Halima Mfundo yenye makao yake makuu nchini Ujerumani inampongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Mama Samia Suluhu Hassan na inamtakia afya njema katika kutuongoza Watanzania.

Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Bi.Halima Mfundo amesema kampuni yake inaungana na Watanzania wengine katika kumuunga mkono Rais Mama Samia Suluhu Hassan. 

Mungu ibariki Tanzania

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news