Ziara ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar yaegeuka faraja kwa wanajamii








Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud, akamilisha awamu ya kwanza ya ziara yake ya kuwatembelea wananchi wenye matatizo mbalimbali wakiwemo wagonjwa katika kisiwa cha Uguja jijini Zanzibar.Leo Aprili 27, 2021 ameikamilisha ziara yake katika Mkoa wa Mjini,katika ziara hiyo amepata fursa ya kuwatembelea na kuwajulia hali wananchi 11 katika mkoa huo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news