Ajali basi la NBS yaua na kujeruhi eneo la Itigi

Zaidi ya watu 38 wanaripotiwa kujeruhiwa huku wawili wakifariki kutokana na ajali ya basi la Kampuni ya NBS iliyotokea eneo la Itigi majira ya saa 11 jioni ya Mei 1, 2021, ANARIPOTI MWANDISHI DIRAMAKINI.
Basi hilo huwa linafanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Tabora ambapo taarifa zaidi tutakujuza.

Aidha, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Misheni ya Mtakatifu Gaspati iliyopo katika mji mdogo wa Itigi mkoani Singida, Dkt.Anatory Rukonge amethibithisha kuwa, amajeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu hospitali hapo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news