Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM wazuru kaburi la Hayati Magaufuli

Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara Christina Mndeme leo tarehe 17/5/2021 wamezuru kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dk. John Pombe Magufuli, Chato mkoani Geita.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Christina Mndeme na ujumbe wake, wakiwa mbele ya eneo lilimo kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais, Hayati Dk. John Magufuli, baada ya kulizuru kaburi hilo, leo.
Eneo la kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais, Hayati Dk. John Magufuli, Chato mkoani Geita.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Christina Mndeme akizungumza baada ya yeye na ujumbe wake kuzuru kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais, Hayati Dk. John Magufuli, Chato mkoani Geita, leo nyuma yake upande wa kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news