Waziri Jafo amteua Mwandishi Sakina wa UMG kuwa Balozi wa mazingira

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo, amemteua Sakina Abdulmasoud kutoka Uhuru Media Group kuwa balozi wa mazingira nchini.
Mwandishi Sakina

Katika uteuzi huo, msanii Diamond Platnumz, Masoud Kipanya, Ester Matiko na muimbaji wa nyimbo za injili Christina Shusho, nao wameteuliwa kuwa mabalozi wa mazingira

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news