🔴LIVE: CHADEMA waibua mjadala kuhusiana na Katiba Mpya Tanzania

 


"Lakini sasa hivi mnaona mikutano ya ndani ya kisiasa inafanyika, kamati kuu za vyama zinafanya mikutano yake na wabunge wanaruhusiwa kufanya mikutano kwenye majimbo yao.

Rais Samia akizungumzia suala la Katiba amesema ni la maana sana, lakini wapewe muda."Tupeni muda tuisimamishe Tanzania, tusimame tujenge nchi pamoja na nyie,"amesema Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano na Wahariri Ikulu jijini Dar es Salaam Juni 28,2021.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news