Maafisa wa Tume ya Utumishi wa Umma waendelea kuhudumia makundi mbalimbali


Bibi Juliana J. Kombe (kulia) Afisa Rasilimali Watu, Idara ya Rufaa na Malalamiko (Sehemu ya Serikali za Mitaa) Tume ya Utumishi wa Umma, akitoa ufafanuzi kuhusu masuala ya nidhamu kwa Bw. Severine J. Ibata (aliyekaa katikati) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa na Bw. Said Kwariko (kushoto) kutoka Halmashauri ya Mji wa Kondoa waliofika katika Ofisi ya Tume ya Utumishi wa Umma, Jijini Dar es Salaam leo kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya kiutumishi. Elimu kwa wadau wa Tume ya Utumishi wa Umma inaendelea kutolewa. (Picha na PSC).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news