MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bashiru Ally, Bungeni jijini Dodoma, Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile, Bungeni jijini Dodoma, Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, Bungeni jijini Dodoma, Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Madiwani kutoka Chalinze, ambao walitembelea Bunge jijini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wa Jimbo hilo, Ridhiwani Kikwete. Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wageni kutoka Shule ya Msingi na Sekondari ya Saint Jude iliyopo Arusha, ambao walitembelea Bunge jijini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wageni kutoka Shule ya Msingi na Sekondari ya Saint Jude iliyopo Arusha, ambao walitembelea Bunge jijini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu). Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Nyang’wale, Hussein Amar, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news