Nyota wa Timu ya Taifa ya Argentina, PSG ya Ufaransa, Mauro Icardi na mkewe waendelea kula bata Serengeti

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Nyota wa Timu ya Taifa ya Argentina na Klabu ya Soka ya PSG ya Ufaransa, Mauro Icardi ametembelea katika Hifadhi ya Serengeti nchini akiwa ameambatana na mkewe.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete katika taarifa yake amesema kuwa nyota huyo amefika nchini na mkewe ambaye pia ni wakala wake.

" Icardi na mkewe wako nchini kwa mapumziko katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti," amesema Shelutete leo Juni 4, 2021.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news