Nabii Dkt.Joshua afichua siri ya kuzaliwa Julai 7 "Tarajieni Uponyaji Mkuu kutoka kwa Mungu"

Rais wa New Covenant Unity International (NCUI) ambaye pia ni Kiongozi wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Dkt.Joshua Aram Mwantyala amesema kuwa, iwe mvua, iwe jua ataendelea kusimama imara katika maombi ... TAZAMA VIDEO 📸 chini

Mitume na Manabii wamwelezea Nabii Dkt.Joshua ... TAZAMA VIDEO 📸 chini

Sauti ya Uponyaji Tanzania ina makao yake makuu eneo la Yespa Kihonda mjini Morogoro ambapo imekuwa baraka kwa maelfu ya watu kupitia maombi na neno la Mungu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news