BREAKING NEWS: Waandishi wa habari Diramakini Blog, Azam TV, Global TV wapata ajali

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

Waandishi wa habari mkoani Geita akiwemo Robert Kalokola wa Diramakini Blog, Esther Sumira wa Azam TV na Consolata Evarist wa Global TV wamenusurika kifo katika ajali
Kalokola na wenzake walikuwa wanaelekea Wilaya ya Nyang'hwale mkoani Geita kutafuta habari.

"Gari imeanguka vibaya, lakini wote tuko salama.Tunamshukuru Mungu sana kwa kutuokoa ,"ameeleza Kalokola.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news