LIVE: Rais Samia akizindua maboresho ya Gati (0-7) Bandari ya Dar es Salaam

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua Maboresho ya Gati (0-7) katika Bandari ya Dar es Salaam leo Desemba 4, 2021.

Huu ni mwendelezo wa shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambao ulipatikana Desemba 9, 1961. Mheshimiwa Rais pamoja na viongozi mbalimbali waandamizi nchini wameendelea kufungua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news