Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara yasogeza mbele mitanange minne ya Ligi Kuu ya NBC leo

NA MWANDISHI DIRAMAKINI

MECHI nne za Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara zilizokuwa zichezwe leo zimeahirishwa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, wamefikia uamuzi huo kwa sababu timu nne zipo kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi jijini Zanzibar.

Azam FC na Namungo FC pamoja na Simba na Yanga zote zipo kwenye Kombe la Mapinduzi na leo zitakuwa na mechi za Nusu Fainali katika dimba la Amaan jijini Zanzibar.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news