🔴LIVE:Rais Samia akishiriki Tamasha la Utamaduni mkoani Kilimanjaro

Rais Samia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo Januari 22,2022 anashiriki Tamasha la Utamaduni mkoani Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassani akizungumza katika Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Kilimanjaro lililofanyika leo tarehe 22/01/2022 katika Viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro.
Naibu Waziri wa Sanaa,Utamaduni na Michezo Mhe.Paulina Gekul akitoa hotuba yake katika Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Kilimanjaro lilofanyika katika Viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro lililofanyika leo tarehe 22/01/2022 na kuhudhuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassan ambaye pia alikuwa mgeni rasmi.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe.Steven Kigaigai akitoa hotuba yake katika Tamasha la Utamaduni Mkoa wa Kilimanjaro lilofanyika katika Viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro lililofanyika leo tarehe 22/01/2022 na kuhudhuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassan ambaye pia alikuwa mgeni rasmi.
Baadhi ya Machifu Mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika Tamasha la Utamaduni mkoa wa Kilimanjaro ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan. Tamasha hilo limefanyika leo Januari 22,2022 katika Viwanja vya Chuo cha Ushiriki Moshi mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro wakishiriki Tamasha la Utamaduni mkoa wa Kilimanjaro ambalo limefanyika leo Januari 22,2022 katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani humu ambapo Mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassan akivalishwa vazi la Utamaduni kama ishara ya kukaribishwa katika mkoa wa Kilimanjaro katika Tamasha la Utamaduni la Mkoa wa Kilimanjaro uliofanyika leo tarehe 22/01/2022 katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chifu Hangaya Mhe.Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa ngao na mkuki na baadhi ya machifu wa Mkoa Kilimanjaro katika Tamasha la Utamaduni lililofanyika leo katika viwanja vya Chuo cha Ushirika Moshi mkoani Kilimanjaro.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news