Salamu MAALUM za pongezi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu,WCF kwenda kwa mawaziri, manaibu mawaziri na katibu mkuu wake

Uteuzi wa viongozi hawa umefanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Januari 8,2022 na wanatarajia kuapishwa Januari 10,2022 katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Kutoka WCF

Wakati huo huo,Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) ambayo ni Taasisi ya Hifadhi ya Jamii iliyoundwa kwa mujibu wa Kifungu cha 5 cha Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi [Sura 263 marejeo ya mwaka 2015] na inahusu waajiri na waajiriwa wote Tanzania Bara, imetoa pongezi kwa viongozi walioteuliwa.
Lengo la Serikali kuanzishwa mfuko huu ni kushughulikia masuala ya Fidia kwa Wafanyakazi waliopo katika sekta ya umma na binafsi ambao wataumia, kuugua ama kufariki kutokana na kazi wanazozifanya kwa mujibu wa mikataba ya ajira zao.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news