Salamu MAALUM za pongezi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenda kwa viongozi wake wateule


Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiongozwa na kauli mbiu ya "Usalama wa Raia, Amani na Utulivu ndiyo Nguzo Yetu" imekuwa nguzo muhimu kwa Taifa letu lililotawaliwa na Amani na Utulivu kila pande huku kupitia idara zake mbalimbali ikitegemea kwa asilimia zote ushirikiano wa Watanzania wakati wote katika majukumu yake ya kila siku.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news