TAARIFA YA ZIARA

LEO Januari 26, 2022 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa atafanya ziara katika Mji Mdogo wa Mirerani.
Katika ziara hiyo Waziri Mkuu atatembelea na kukagua masoko ya madini Mirerani.

Pia, atatembelea eneo la EPZ lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa maduka na viwanda vya kuongeza thamani Madini ya Tanzanite yanayochimbwa katika Mji huo

Taarifa rasmi itatolewa baada ya ziara hiyo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news