Kamati:Tunatarajia mabadiliko makubwa ya kiutendaji katika Ofisi ya Rais-UTUMISHI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa,Mhe. Abdallah Chaurembo amesema kamati yake inatarajia mabadiliko makubwa ya kiutendaji ya Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora yatakayokuwa na tija kwa wananchi na maendeleo ya taifa.


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news