Waziri Mkuu Majaliwa ateta na Mkuu wa Majeshi wa Jordan

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Jenerali Yousef Alhunaity ambaye ni Mkuu wa Majeshi wa Jordan (The Chairman Chiefs of Staf of the Hashemite Kingdom of Jordan) baada ya kushiriki katika mkutano wa kujadili usalama kwenye eneo la Kusini Mashariki mwa Afrika hususan nchini Msumbiji na maeneo jirani uliofanyika Machi 24, 2022 kwenye mji wa Aqaba nchini Jordan. Kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Mbarouk Nassor Mbarouk.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Jenerali Yousef Alhunaity ambaye ni Mkuu wa Majeshi wa Jordan (The Chairman Chiefs of Staff of the Hashemite Kingdom of Jordan) baada ya kushiriki katika mkutano wa kujadili usalama kwenye eneo la Kusini Mashariki mwa Afrika hususan nchini Msumbiji na maeneo jirani uliofanyika Machi 24, 2022 kwenye mji wa Aqaba nchini Jordan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news