Mwenyekiti mpya wa BOA atembelea ofisi za makao makuu ya benki

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank of Africa, Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikaribishwa na Mkurugenzi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Adam Mihayo wakati alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo juzi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank of Africa Bw.Nehemia Kyando Mchechu akiongea na viongozi wa benki hiyo wakati alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es alaam juzi,(wa kwanza kushoto) ni Mkurugenzi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Adam Mihayo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank of Africa Bw.Nehemia Kyando Mchechu (Kushoto) akipokea nyaraka za kazi kutoka kwa Mkurugenzi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Adam Mihayo wakati alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za Makao Makuu ya Benki hiyo jijini Dar es alaam juzi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank of Africa Bw.Nehemia Kyando Mchechu akibadilishana mawazo na Mkurugenzi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Adam Mihayo, wakati alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es alaam juzi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bank of Africa Bw.Nehemia Kyando Mchechu (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa Waandamizi wa benki wakati alipofanya ziara ya kikazi katika ofisi za makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es alaam juzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news