Ni Aprili 17 ya Mjadala wa Kitaifa ukiangazia uzinduzi wa The Royal Tour USIKOSE!

Septemba 2, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akisalimia wananchi wa eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam aliwaeleza Watanzania faida ya kipindi cha filamu maarufu cha Royal Tour chenye lengo la kuitangaza Tanzania katika angaza za Kimataifa kwenye eneo la vivutio vya utalii, maeneo ya uwekezaji, sanaa na utamaduni wa watu wa Tanzania, filamu ambayo ameigiza maeneo mbalimbali ya vivutio nchini Tanzania akiwa kama Mhusika Mkuu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news