NBS NA OCGS:Hatujatangaza nafasi za kazi za Makarani wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, kuweni makini

NA DIRAMAKINI

OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar (OCGS) zimewataka wananchi wote kuchukua tahadhari kutokana na taarifa zinazoendelea kusambaa kwa kasi mitandaoni zikielezea kuwa wametangaza nafasi za kazi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Taifa ya Takwimu jijini Dodoma,inaeleza kuwa,hadi sasa ofisi hizo hazijatangaza nafasi za kazi za Makarani wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news