Makamu wa Rais awasili jijini Kigali


Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akilakiwa baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda leo. Makamu wa Rais anatarajia kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 26 wa Wakuu wa Serikali wa Nchi Wanachama za Jumuiya ya Madola nchini humo.(Picha na OMW).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news